Theology of the Church, Swahili Mentor Guide

/ 4 9

THEOLOJIA YA KANISA

• Kutofautisha kati ya neema na rehema. • Kutambua na kuukabili uzushi wa Pelagiani. • Kueleza tofauti kati ya neno “sakramenti” na neno “agizo.” • Kutaja na kueleza kwa ufupi mitazamo mikuu minne ya Kikristo kuhusu Meza ya Bwana.

I. Sola Gratia (Neema Pekee)

Muhtasari wa Video ya Sehemu ya 1

A. Neema ni sifa muhimu ya jinsi Mungu alivyo.

Uf. 22:21 Neema ya Bwana Yesu na iwe pamoja nanyi nyote. Amina.

2

1. Kut. 34:6-7

2. Yn. 1:14

3. Efe. 1:6

4. Ebr. 10:29

B. Neema ni kibali tusichostahili. Mungu anapokuwa wa neema kwetu hututendea kwa upendo ingawa hatuna sababu ya kudai au kutarajia fadhili hizo.

C. Tofauti kati ya “neema” na “rehema.”

ukurasa 232  6

1. Rehema ni Mungu kutunyima na kukizuia kile tunachostahili.

2. Neema ni Mungu kutupa kile tusichostahili.

Made with FlippingBook - Share PDF online