Theology of the Church, Swahili Mentor Guide
/ 4 9
THEOLOJIA YA KANISA
• Kutofautisha kati ya neema na rehema. • Kutambua na kuukabili uzushi wa Pelagiani. • Kueleza tofauti kati ya neno “sakramenti” na neno “agizo.” • Kutaja na kueleza kwa ufupi mitazamo mikuu minne ya Kikristo kuhusu Meza ya Bwana.
I. Sola Gratia (Neema Pekee)
Muhtasari wa Video ya Sehemu ya 1
A. Neema ni sifa muhimu ya jinsi Mungu alivyo.
Uf. 22:21 Neema ya Bwana Yesu na iwe pamoja nanyi nyote. Amina.
2
1. Kut. 34:6-7
2. Yn. 1:14
3. Efe. 1:6
4. Ebr. 10:29
B. Neema ni kibali tusichostahili. Mungu anapokuwa wa neema kwetu hututendea kwa upendo ingawa hatuna sababu ya kudai au kutarajia fadhili hizo.
C. Tofauti kati ya “neema” na “rehema.”
ukurasa 232 6
1. Rehema ni Mungu kutunyima na kukizuia kile tunachostahili.
2. Neema ni Mungu kutupa kile tusichostahili.
Made with FlippingBook - Share PDF online