Wito Halisi: Kumwakilisha Kristo na Ufalme wake kupitia Kanisa

Viambatisho

155

Mazingira magumu ya watoto, shinikizo la ndoa na familia,

kupoteza uchumba na mapenzi

Kukataliwa, kuteswa, na kutengwa isvyo haki

Mashambulizi ya kiroho, ukatili, upinzani kutoka kwa maadui wa Bwana

Gharama

za Kulipwa

Ugonjwa, maumivu,

ugonjwa, na uchovu

“Unaweza kunilipa sasa, ama baadaye.”

Upweke, kutokuwa na urafiki, kuachwa, mateso ya kimwili na maumivu

Uchovu, kukata tamaa, dhiki, shinikizo la kisaikolojia

na huduma

Upotevu wa nyenzo,

umaskini, mahitaji ya

kifedha uhaba wa bidhaa

Kiambatisho cha 36

Gharama ya Ufuasi Mch. Dkt. Don L. Davis

Made with FlippingBook Digital Publishing Software