Wito Halisi: Kumwakilisha Kristo na Ufalme wake kupitia Kanisa
16
Wito Halisi: Kumwakilisha Kristo na Ufalme Wake Kupitia Kanisa
a. Ulimwengu: adui wa nje wa mtu wa Mungu (1 Yoh. 2:15-17)
b. Mwili: adui wa ndani wa mtu wa Mungu (Gal. 5:16-23)
c. Ibilisi: adui wa kuzimu wa mtu wa Mungu (Efe. 6:10-18)
3. Silaha za vita vyetu (2 Kor. 10:3-5)
4. Kushindana na wakuu wa giza (Warumi 13)
5. Wawakilishi na mabalozi wa Ufalme (2 Kor. 5:18-21)
E. Wito na Agano: Hadithi ya Kutoka inaeleza mpango wa Mungu kwa kundi hili la watu.
1. Anaita, anawezesha, na kutuma mwakilishi maalum ili kupambana na adui yake.
2. Anaonyesha uwezo na maajabu yake katika hukumu juu ya adui zake.
3. Anawaita, anawaokoa, na kuwafanya upya watu wa agano – anawawezesha ili kwamba waweze kumtukuza na kumwabudu.
Made with FlippingBook Digital Publishing Software