Wito Halisi: Kumwakilisha Kristo na Ufalme wake kupitia Kanisa
Kipindi cha 4 : Wito wa Uhuru
51
Gharama ya Uhuru kwa watenda kazi katika Kristo Kulinganisha miito na jeshi “rasmi” la Mungu na “maafisa” wake.
Waamini katika Jumuiya ya Kikristo
Watenda kazi Waliotengwa kwa ajili ya Huduma
Wanahesabiwa kuwa na akili katika Kristo
Wapumbavu kwa ajili ya Kristo
Hisia ya utoshelevu na ustawi
Ukosefu na uhaba halisi wa bidhaa na fedha
Hisia ya nguvu
Udhaifu na kuwa hatarini
Wanapokea malezi
Wanatoa malezi
Hutazamwa kama wenye sifa mbaya
Hutazamwa kwa heshima
Hutukanwa, huteswa, hukashifiwa
1 Wakorintho 4:8-13
Njaa na kiu, mavazi duni, husukwasukwa, mara nyingi hawana makazi, wanafanya kazi kwa mikono yao wenyewe.
Walengwa wa malezi na msaada
Kuwa kama takataka ya dunia, takataka ya vitu vyote
Uhuru Huzalisha Aina ya Ujasiri Ambao Kiongozi Anahitaji
Hebu tazama kauli hizi mbili tofauti: «Milango imefungwa kwa hofu ya Wayahudi (Yn. 20:19), na, «Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana» (Mdo. 4:13). Kauli hizi zinaelezea wanafunzi wale wale, na upinzani uleule. Ni nini kilitokea kati ya kauli ya kwanza na ya pili? Tofauti ni Roho Mtakatifu. «Wote wakajazwa Roho Mtakatifu» (Mdo 2:4). Na Roho Mtakatifu anapopewa udhibiti wa nafsi hatoi “roho ya woga, bali roho ya nguvu” (2 Tim. 1:7).
~ J. Oswald Sanders. Spiritual Leadership . Toleo la 2. Chicago: Moody Press, 1994. uk. 60.
Basi Bwana ndiye Roho; walakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru.
~ 2 Wakorintho 3:17
Made with FlippingBook Digital Publishing Software